1 Kings 6:1

Sulemani Ajenga Hekalu

(2 Nyakati 3)

1 aKatika mwaka wa 480 baada ya Waisraeli kutoka nchi ya Misri, katika mwaka wa nne wa utawala wa Sulemani katika Israeli, katika mwezi wa Zivu, ambao ndio mwezi wa pili, alianza kujenga Hekalu la Bwana.

Copyright information for SwhKC